Mtanzania Afariki jangwani na mkenya kuvuka Boda



Raia Hawa wawili akiwemo Mtanzania mmoja na Mkenya wamefariki kwenye Jangwa la Sahara wakijaribu kuvuka kwenda  nchi za Ulaya (Europe) kutafuta maisha .. Watu Hawa walitokea Sudan Kisha wakaingia Libya na kuanza kukatiza Kwa kutembea kwenye jangwa  takribani urefu  kilometer 50 wakikatisha libya ili waweze kutokea nchi ya Morocco Kisha wavuke kwenda Spain..





Inasemekana walikua wamebakiza kama urefu wa kilometer 5 hivi waweze kukatisha lakini kutokana na Kiu na jua Kali walishindwa kupenya na wote wawili wamefariki Dunia ...





"Habari hii imeletwa kwako na Habari 255"๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Puma yaibuka msambazaji mpya wa mipira EPL baada ya miaka 25 ya Nike

Tume ya Uchaguzi na NIDA Zakanusha Madai ya Humphrey Polepole